Monday, December 8, 2014

ULALE MAHALI PEMA DADA YETU.

Ilikuwa ni ngumu kuamini kuwa dada yetu na mdogo wetu, mwanafunzi mwenzetu na kipenzi chetu kuwa katutoka. Licha ya ugumu huo wa kutoamini, bado haikubadili ukweli kuwa Betty Ndejembi hatunaye katika maisha haya ya duniani.
MUNGU akuweke mahali salama. Wewe umetangulia, nasi tu njiani tunafuata. Njia yetu ni moja na ileile, tuandalie makazi, kwani safari yetu itaishia huko.

ULAZWE MAHALI PEMA PEPONI BETTY.

No comments:

Post a Comment