Nani kakwambia Mazengo hatuwezi kutoa Miss Tanzania? Thubutuuu, kama unabisha, wekeni Miss wenu hapa nasi tumuone.
Miss Tanzania wetu huyu hapa, kama unabisha we bisha tu. Taifa limeshamchagua.
Hongera Dada yetu. Hii ndio Mazengo bwana, ukiikosa mtandaoni itafute kwenye ulimbwende. Tumetapakaa kama harufu ya shombo la samaki kule feri.
Muite Ferista Kaposo, unabishaaaaaa.
Mazengo Juuuu.
No comments:
Post a Comment