Monday, December 8, 2014

TUNATAMBA KILA KONA.

Ndio hivyo jamani. Usidhani Mazengo ni wa kuja kama wale wengine. Sisi ni zaidi ya moto na vyote unavyovijua kuwa vipo juu hapa duniani. Hii ndo Mazengo bwana, ukisikia nyingine ujue kivuli, watoto wa mtaani wanakwambia hivyo.

Endelea kuwaonesha Dada yetu kuwa sisi hatuna rangi za kuunga unga, tunajiheshimu na kumuheshimu MUNGU kwa alichotupa. Hivyo ndivyo Mazengo tulivyofundishwa.
Mmmmmmmwah. (Busu kavu)

No comments:

Post a Comment