Monday, December 8, 2014

DANIEL LEMA.

Kimwili haupo nasi, ila tunaamini kiroho upo na sisi. Kamwe hatuwezi kuacha kukumbuka ucheshi wako. Leo haupo nasi, ila tunaamini ipo siku tutakuja kuwa pamoja tena. Tuandalie makazi mazuri huko ulipo.
Rafiki tunakukumbuka, ndugu wanakukumbuka, walimu wanakukumbuka na wote tunaokujua, tunakukumbuka.

ULALE MAHALA PEMA PEPONI KAKA MKUBWA.
DANIEL LEMA

No comments:

Post a Comment