Blog hii imeanzishwa kwa mawazo ya wanafunzi wa Mazengo Shule Msingi mwaka 2003.
Huu ni mchango mmojawapo katika kuienzi shule ya Mazengo kwa yote iliyotutendea.
MUNGU wetu tuongoze.
Monday, December 8, 2014
UMOJA NI NGUVU.
MAZENGO tunaamini palipo na zaidi ya wawili, basi kuna kitu kizuri kinapangwa. Naam, ndio kama hivi. Uongozi bora tuliouchagua, sasa unafanya kazi yake. Sisi ni wamoja aisee, nyie je.
No comments:
Post a Comment