Jacktan Nicholous Mtewele, kadhihirisha kuwa hakuna kama Mama dunia hii. Huyu ndiye MUNGU wetu wa duniani, na ndio maana akichukia kwa sababu ya makosa uliyomtendea, inakuwa vigumu wewe kufanikiwa. Tulifundishwa hivyo Mazengo na hilo limekaa vichwani mwetu.
HONGERA JACKTAN
No comments:
Post a Comment