Blog hii imeanzishwa kwa mawazo ya wanafunzi wa Mazengo Shule Msingi mwaka 2003.
Huu ni mchango mmojawapo katika kuienzi shule ya Mazengo kwa yote iliyotutendea.
MUNGU wetu tuongoze.
Monday, December 8, 2014
EMMANUEL KAGUO
Linapokuja suala la kazi, huwa hatuna utani hatani hata kidogo. Tumezaliwa kufanya kazi, tuacheni tufanye kazi.
Asanteni sana walimu kwa muongozo wenu bora ambao leo hii unajenga maisha yetu. Mungu awazidishie.
Si mchezoo
ReplyDeleteKazi nzuri
ReplyDelete