Monday, December 8, 2014

FRANK MASAI


Eti oooh, hawa jamaa wanajisifu tu na mambo mengine, mbona hawana wasanii?
Nani kakwambia Mazengo hamna wasanii? Utabaki hivyo hivyo. Huyo hapo msanii awezaye kupiga vifaa vyote vya muziki. Haya umeamini?
Hana shida ya kujiunga na bendi, Mazengo pekee inamtosha.

HONGERA KAKA FRANK MASAI.

No comments:

Post a Comment