Monday, December 8, 2014

BECAUSE WE ARE HAPPY.

Tunune ili iweje? Mazengo hatuna haja ya kununa. Hata tukiwa tunashida, tunasaidiana. Sasa tumnunie nani? Kwanza hatuna papara ya maisha, pili tunafanya kazi kwa bidii, tatu tunamuomba MUNGU zaidi ya ktu chochote. Sasa ya nini tunune?
WE ARE HAPPPPPPYYYYYY.

No comments:

Post a Comment