Monday, December 8, 2014

TUNAKUKUMBUKA NOLLO.

Ni MUNGU pekee ajuaye mwisho wa safari yetu, leo ulikuwa nasi lakini kesho yawezekana ukawa haupo tena nasi.
Ndivyo ilivyokuwa. Tulicheka na kufurahi naye, tulikula na kunywa naye, tukacheza na kuserebuka naye, lakini leo hii haya yote yamebaki ukumbusho. Umetutoka Kaka angali bado tunahitaji tufanye mengi tukiwa na wewe.
Lakini hatutamlaumu MUNGU kwani ametoa na kutwaa, kazi yake haina makosa.
Tunazidi kukuombea MOLA akulaze mahala pema peponi.

WE MISS YOU BRO.

No comments:

Post a Comment