Ndivyo ilivyokuwa. Tulicheka na kufurahi naye, tulikula na kunywa naye, tukacheza na kuserebuka naye, lakini leo hii haya yote yamebaki ukumbusho. Umetutoka Kaka angali bado tunahitaji tufanye mengi tukiwa na wewe.
Lakini hatutamlaumu MUNGU kwani ametoa na kutwaa, kazi yake haina makosa.
Tunazidi kukuombea MOLA akulaze mahala pema peponi.
WE MISS YOU BRO.
No comments:
Post a Comment