Monday, December 8, 2014

MWANADADA.

Hadi nashindwa kuelezea. Huyu basi muelezeeni wenyewe, maana mimi mtaniona muongo.
Lakini nitamwelezea kidogo tu.
Mwanadada huyu bwana, hata nikisema ni mbunge au gavana, huwezi kubisha hata kidogo. Kwa sababu ana vigezo vyote vinavyokidhi sifa hizo. Mimi nampa cheo cha ugavana wa fedha. Miaka ijayo, saini kwenye noti itakaa ya huyu.

Unabisha? Kama unabisha endelea kubisha, ila mimi nimeishasema.

No comments:

Post a Comment