Monday, December 8, 2014

VENERANDA MASAI

Sisi wala hatuna shida na mtu. Uso tulivu na usio na matatizo na mtu, ndio huu hapa mnauona. Nani anabisha kuwa dada huyu ni mtakatifu? Haina ubishi hasa kwa sura yake inavyojionesha.
Mazengo hatuna tatizo bwana, ukiona tumekuletea vurugu, ujue umetuchokoza.

Mazengo Daima namba moja.

No comments:

Post a Comment