Sunday, December 7, 2014

FARAJI KONDO.

Kaka mkubwa mwenyewe. Hakuna wa kubisha kuwa Mazengo tunawakilisha na tunatisha. Popote utakapoenda uliza kuhusu Mazengo, utapelekwa hadi kwa Waziri. Unashangaa nini? Mazengo tumetoa Mawaziri.
Huyu ni mtarajiwa.

No comments:

Post a Comment