Blog hii imeanzishwa kwa mawazo ya wanafunzi wa Mazengo Shule Msingi mwaka 2003.
Huu ni mchango mmojawapo katika kuienzi shule ya Mazengo kwa yote iliyotutendea.
MUNGU wetu tuongoze.
Sunday, December 7, 2014
FARAJI KONDO.
Kaka mkubwa mwenyewe. Hakuna wa kubisha kuwa Mazengo tunawakilisha na tunatisha. Popote utakapoenda uliza kuhusu Mazengo, utapelekwa hadi kwa Waziri. Unashangaa nini? Mazengo tumetoa Mawaziri.
Huyu ni mtarajiwa.
No comments:
Post a Comment