Blog hii imeanzishwa kwa mawazo ya wanafunzi wa Mazengo Shule Msingi mwaka 2003.
Huu ni mchango mmojawapo katika kuienzi shule ya Mazengo kwa yote iliyotutendea.
MUNGU wetu tuongoze.
Sunday, December 7, 2014
NI RAHA ILIYOJE?
Hakuna kama Mazengo aiseee. Wanafunzi tusio na papara ya maisha, ni furaha tele ndiyo iliyotawala katika maisha yetu.
Pongezi zije kwako dada yetu mpendwa.
No comments:
Post a Comment