Wakati Dar es Salaam wanakutana, pia Mjini Dodoma baadhi ya wanafunzi wa Mazengo walikutana kwa pamoja na kujadili mambo kadha wa kadha katika kusukuma gurudumu la Muungano wa wanafamilia hii kubwa.
Hakuna Kama Mazengo Shule Ya Msingi bwanaaaaa.
Kama unabisha, hatubishani, leta hoja mezani tujadiliane kwa mifano hai. Mfano wetu huu hapa unaouona.
No comments:
Post a Comment