Tunune kwa sababu gani sasa? Tumefundishwa maadili mema, hatuibi cha mtu, hatukabi, hatudanganyi ili tupate cha juu, hatuna mapozi, tunasaidiana. Kwa nini tusiwe na furaha?
Tacheni Wanamazengo tujiachie kwa matabasamu mwananaaaaaa.
ROMANA & RAWLING.
No comments:
Post a Comment