Sunday, December 7, 2014

KIKAO CHA KWANZA CHA WANAMAZENGO DAR ES SALAAM

Ilikuwa ni furaha sana kwa nyuso hizi kukutana na kutulia kwa pamoja tena mwaka 2014 baada ya kupoteana kwa muongo mmoja.

Shukrani za dhati zimuendee MUNGU baba mwenyezi kwani katika yeye hakuna kitakachoshindikana.
MAZENGO DAIMA.

No comments:

Post a Comment