Blog hii imeanzishwa kwa mawazo ya wanafunzi wa Mazengo Shule Msingi mwaka 2003.
Huu ni mchango mmojawapo katika kuienzi shule ya Mazengo kwa yote iliyotutendea.
MUNGU wetu tuongoze.
Sunday, December 7, 2014
KIKAO CHA KWANZA CHA WANAMAZENGO DAR ES SALAAM
Ilikuwa ni furaha sana kwa nyuso hizi kukutana na kutulia kwa pamoja tena mwaka 2014 baada ya kupoteana kwa muongo mmoja.
Shukrani za dhati zimuendee MUNGU baba mwenyezi kwani katika yeye hakuna kitakachoshindikana.
MAZENGO DAIMA.
No comments:
Post a Comment