Sunday, December 7, 2014

ALLY YASIN

Kijana mtanashati kutoka Mazengo Shule ya Msingi. Maisha ni kama raha sana kama ulipita Mazengo Shule Ya Msingi.

Shukrani ziende kwa Waalimu wote waliomfikisha kijana huyu hapa. Bila nyie asingeweza kuandika Mama wala Baba.
Heshima na Nidhamu, ninyi ndio wa kupewa pongezi.
Asanteni Walimu wote wa Mazengo.

No comments:

Post a Comment