Blog hii imeanzishwa kwa mawazo ya wanafunzi wa Mazengo Shule Msingi mwaka 2003.
Huu ni mchango mmojawapo katika kuienzi shule ya Mazengo kwa yote iliyotutendea.
MUNGU wetu tuongoze.
Monday, December 8, 2014
ROSE JOHN
Mjasiriamali.
Hakuna kama Mazengo hata katika nyanja hizi za ujasiriamali. Mkitaka kupata elimu ya ujasiriamali, njooni Mazengo tu. Sisi ndio namba moja.
Safii
ReplyDelete