Kimwili haupo nasi, ila tunaamini kiroho upo na sisi. Kamwe hatuwezi kuacha kukumbuka ucheshi wako. Leo haupo nasi, ila tunaamini ipo siku tutakuja kuwa pamoja tena. Tuandalie makazi mazuri huko ulipo.
Rafiki tunakukumbuka, ndugu wanakukumbuka, walimu wanakukumbuka na wote tunaokujua, tunakukumbuka.
ULALE MAHALA PEMA PEPONI KAKA MKUBWA.
DANIEL LEMA
MAZENGO REUNION 2003
Blog hii imeanzishwa kwa mawazo ya wanafunzi wa Mazengo Shule Msingi mwaka 2003. Huu ni mchango mmojawapo katika kuienzi shule ya Mazengo kwa yote iliyotutendea. MUNGU wetu tuongoze.
Monday, December 8, 2014
EMMANUEL MBOJE.
Kijana mcheshi na mjanja mjanja, LAKINI siyo bwege kama unavyodhani. Heshima ipo sana kama kawaida ya wanamazengo.
HESHIMA KWAKO KAKA MKUBWA.
JOEL TETTE
Kaka mkubwa ndiye mtunza muda bora kabisa kupata kutokea pale Mazengo Shule ya Msingi.
Hongera Kaka.
Hongera Kaka.
ROSE JOHN
Mjasiriamali.
Hakuna kama Mazengo hata katika nyanja hizi za ujasiriamali. Mkitaka kupata elimu ya ujasiriamali, njooni Mazengo tu. Sisi ndio namba moja.
Hakuna kama Mazengo hata katika nyanja hizi za ujasiriamali. Mkitaka kupata elimu ya ujasiriamali, njooni Mazengo tu. Sisi ndio namba moja.
Subscribe to:
Posts (Atom)